AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa kufoka, Young Dee ameachia wimbo wake mpya ‘Bongo Bahati Mbaya’ akiwa chini ya uongozi mpya wa producer wa Touch Sound, Mr Ttouch.
Rapa huyo aliachana na uongozi wake wa zamani, Millian Dollar Boys (MDB) baada ya kushindwa kukubaliana baadhi ya vitu na uongozi wa label hiyo.
Sikiliza wimbo wake mpya HAPA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK