Bajeti Mpya: Wafanyakazi Tumeikosea Nini Awamu ya Tano ?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bunge

Nimesoma hotuba ya bajeti kurasa zote kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho hakuna chochote kilichozungumzwa kuhusu maslahi ya mfanyakazi wa umma hususani mshahara wa mtendaji huyu wa serikali.

Licha ya matambo na mbwembwe nyingi katika uwasilishaji lakini serikali imeshindwa hata kutaja kima cha chini tu cha mshahara!Imeshindwa hata kusema tu maneno machache ''tumezingatia maslahi ya mtumishi katika bajeti hii''

Hii serikali toka iingie madarakani imekuwa na mazoezi kandamizi tu kwa mfanyakazi, watumishi hewa, vyeti feki, lawama za kila aina lakini imekuwa jeuri kuhusu kuzingatia maslahi ya wafanyakazi hawa.

Wabunge tunawaomba msimamie na kupigia kelele suala hili katika mjadala wa bajeti.

Chanzo JF
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad