Imegundulika Kumbe Baraka The Prince Ana Chuki Kwa Ben Pol na Jux...Chanzo Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baraka the Prince na Ben Pol
Hivi karibuni msanii kutokea Bongo flevani Baraka the prince aliingia kwenye headlines baada ya kuukosoa wimbo wa mwanamuziki Ben Pol “Tatu”na kusema wimbo ni mbaya na haukustahili mtu kupiga picha bila ya nguo kwa kiki ya nyimbo kama ile.

Sasa leo June 9, 2017 Ben Pol ametoa ya moyoni akiwa kwenye Ayo TV na millardayo.com akielezea kinachoendelea baina yake na Baraka The Prince hasa baada ya maoni kuhusu wimbo huo na namna alivyoyapokea…

Tazama Video Hapa Chini:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad