Kufuru..Je Wajua Kiasi Cha Pesa Walichopewa Chelsea Baada ya Kutwaa Ubingwa wa Ligi ya Uingereza?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chelsea ni mabingwa wa ligi ya England 2016-17

Klabu ya soka ya Chelsea imelipwa paundi milioni 150.8 na chama cha soka cha England FA baada ya kushinda ubingwa wa ligi kuu msimu wa 2016-17.

Msimu wa 2015-16 ulishuhudia ongezeko kubwa kwa mkataba wa matangazo ya Televisheni ukitoa takriban Paundi bilioni 2.4 kwa timu 20 zaidi ya msimu uliopita zilipolipwa Paundi bilioni 1.6.

Timu iliyoshika mkia kabisa Sunderland imepata Paundi milioni 93.471.

Fedha hizo zinatokana na matangazo ya Televisheni, mikataba ya kibiashara sambamba na zawadi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad