AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gazeti la Jibu Limeandika:
Watakuwa wanaswali jumapili
Watakuwa wanaswali kwa sauti za juu
Lengo ni kuwaslimisha wakristo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Uislamu mungu Alisha ahidi ataulinda ndio maana qurain tukufu mpaka sasa haijawahi kuingizwa maneno mapya .hiyo ni dalili tosha ya ahadi ya Allah .vitabu vingine tumeona vimeingizwa maneno ambayo si ya mungu .hao walioanzisha hilo si waislamu ila ni wapotoshaji wa uislam.mtume s.a.w aliwahi sema itafika kipindi watu watauona usilamu kama kitu cha ajabu .ndio hayo ya kuswali j2,kujilipua,ugaidi ila maneno ya mtume yalikuwa yakimaanisha watatokea watu nakufanya propaganda juu ya uislamu ili uonekane wa ajabu .hili la kuswali j2 si mafundisho ya waislamu ila mafundisho ya wapotoshaji wa uislamu .uislamu utasimama mpaka kiama
ReplyDelete