Gigy Aumbuka Na Tattoo Ya Bwanaa’ke

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

IKIWA imepita miezi michache tangu ajiapize kuwa hatakuja kujichora tattoo ya mwanaume yeyote atakayekuwa naye katika uhusiano, muuza sura kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameumbuka baada kunaswa akiwa amejichora jina la mwandani wake, Mourad Alpha ‘Moj’.

Mwanadada huyo ambaye mara kwa mara amekuwa akiingia kwenye mgogoro na Moj kwa madai kuwa amekuwa akimpiga bila sababu za msingi hivyo anatumia nguvu kubwa kuachana naye lakini anashindwa, amejikuta akiumbuka kwa kujichora tattoo ya jina lake. Alipobanwa baada ya kunaswa na tattoo hizo, Gigy alisema;

“Haa unaniuliza, sijui hata nikujibu nini? Nguvu ya mapenzi ndiyo imenisababisha kufanya hivi, migogoro ni kawaida katika mapenzi na kupigwa kila wakati nimeshazoea.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwani huyo jamaa yako ni mkurya maana wao kukugonga mwanamke kila siku ni moja ya mapenzi

    ReplyDelete

Top Post Ad