AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada huyo ambaye mara kwa mara amekuwa akiingia kwenye mgogoro na Moj kwa madai kuwa amekuwa akimpiga bila sababu za msingi hivyo anatumia nguvu kubwa kuachana naye lakini anashindwa, amejikuta akiumbuka kwa kujichora tattoo ya jina lake. Alipobanwa baada ya kunaswa na tattoo hizo, Gigy alisema;
“Haa unaniuliza, sijui hata nikujibu nini? Nguvu ya mapenzi ndiyo imenisababisha kufanya hivi, migogoro ni kawaida katika mapenzi na kupigwa kila wakati nimeshazoea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani huyo jamaa yako ni mkurya maana wao kukugonga mwanamke kila siku ni moja ya mapenzi
ReplyDelete