AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zilla amesema hayo baada ya kuulizwa chanzo cha ugomvi wake na msanii Nikki Mbishi pamoja na Wakazi.
“Nikki ‘is my friend’ tumefanya kazi kwenye nyimbo yake, ‘I don’t know’ sijui kitu gani kimetokea lakini ‘we still friend. Mimi sina tatizo kwa sababu kama ingekuwa chochote kimetokea watu tusingefanya kazi pamoja, lakini imekuwa ‘too much’,” Zilla alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV.
“Unajua watoto wa Ukonga wengi wanakuwa miyeyusho miyeyusho lakini ni ndugu zangu wakina Wakazi, Nikki tunawalea tutafanyaje wanetu hao” aliongeza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK