Huu Ndio Ujumbe wa Mwisho wa Zari kwa Marehemu Ivan..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Ivan Ssemwanga kufariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini kutokana na maradhi ya moyo na kuzikwa Jumanne hii katika makaburi ya ukoo wake yaliyopo Kayunga nchini Uganda – Zari The Bosslady ameonekana kuumizwa zaidi na kifo cha aliyekuwa mumewe.

Malkia huyo wa Diamond, ameandika ujumbe kupitia mtandao wa Instagram wa kumtakia marehemu apumzike kwa amani huko alipo na pia amewashukuru wote ambao wamekuwa karibu na familia hiyo katika kipindi hiki kigumu.

“Death robbed you from us but I strongly believe you are in a better place now that you are with God. Your physical presence will be missed but you will forever be remembered,” ameandika Zari katika picha hiyo hapo chini aliyoiweka katika mtandao huo.

“Till we meet again, Rest in eternal peace Ivan The Don🌹 Allow me to thank everyone who has been here for my family during this trying time. God bless you,” ameongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad