Isalmic State Yakiri Kuhusika na Shambulizi la London Uingereza,,!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kundi la wanamamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika katika shambulio lililotokea jijini London nchini Uingereza na kuuwa watu saba huku wengine 48 wakijeruhiwa na kupelekwa hospitali.

Aidha, katika shambulio hilo Polisi nchini humo imesema kuwa imewakamata watuhumiwa 12 ambao wanadaiwa kuhusika katika shambulio hilo la kigaidi  ambalo ni baya kutokea kwa nchi ya Uingereza.

Hata hivyo, ulinzi umeimarishwa na msako mkali dhidi ya wahusika unaendelea jiji humo huku bado kukiwa na hofu kubwa ya mashambulizi mengine kutoka kwa magaidi hao jijini London.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad