Ndege ya Jeshi Yapotea na Watu 100 Ndani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ndege ya Jeshi
BBC,Burma. Ndege ya jeshi la Burma, iliyokuwa imewabeba zaidi ya watu 100, imetoweka.

Taarifa zilizotolewa na viongozi wa kitaifa wa Burma, zimeeleza kuwa ndege hiyo ya kijeshi, ilikuwa imeruka kati ya Yangon (Rangoon) na mji ulioko Kusini mwa nchi hiyo wa Myeik. Shughuli za kutafuta ndege hiyo.

"Tulipoteza mawasiliano na ndege hiyo kuanzia saa 4:35 leo asubuhi (saa za Afrika Mashariki),   ndege hiyo ilipofika maili 20 Magharibi mwa Mji wa Dawei," jeshi la Burma limetoa taarifa hiyo

Inaelezwa kuwa ndege hiyo ilikuwa na abiria 105 na wafanyakazi 11.

Ndege za wanajeshi pamoja na helikopta zimetumwa katika eneo hilo katika shughuli za kuwatafuta manusura au mabaki ya ndege hiyo ambayo mpaka sasa inaaminika kuwa imeanguka.

Taarifa zinaongeza kuwa, ndege hiyo ilikuwa angani ikivuka bahari ya Andaman dakika chache baada ya kutoweka.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad