Kipima Joto..Je, Rais Kuteua Wapinzani ni CCM Mpya au Ndio Kubadili Gia Angani..!!!?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakuu,kulingangana nateuzi zilizofatana hivi karibuni,Mh.Rais amekuwa akiteua watendaji wake kutoka upinzani ama kwa watu,ambao tunafahamu sio vindakindaki wa ccm.je ndo ccm mpya ama ni kubadili gia angani,kama wazee wa ufipa?

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Unajua yeye anawachagua watendaji wa kazi sio chama hata kama ukiwa mpinzani lakini ukiwa mchapakazi basi atakuteuwa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huyu mama utendaji wake lini ulishawahi kuonekana? Halafu ndugu wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa ni makada? Swali mama nae kada?

      Delete

Top Post Ad