AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakuu,kulingangana nateuzi zilizofatana hivi karibuni,Mh.Rais amekuwa akiteua watendaji wake kutoka upinzani ama kwa watu,ambao tunafahamu sio vindakindaki wa ccm.je ndo ccm mpya ama ni kubadili gia angani,kama wazee wa ufipa?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Unajua yeye anawachagua watendaji wa kazi sio chama hata kama ukiwa mpinzani lakini ukiwa mchapakazi basi atakuteuwa
ReplyDeleteHuyu mama utendaji wake lini ulishawahi kuonekana? Halafu ndugu wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa ni makada? Swali mama nae kada?
Delete