Lowassa Ampa Tano Rais Magufuli, Ataka Watanzania Wamuache Apitishe Fagio..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri Mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya kampuni ya Richmond na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amewataka watanzania kumuacha Rais Dkt. Magufuli kuendelea kupitisha fagio sehemu mbalimbali kwani nchi ilipokuwa imefikia ni pabaya.

Lowassa amesema kuwa ni kweli kuna baadhi ya mambo anakosea lakini si wakati wake kumkosoa kwa sasa hivyo watanzania wanatakiwa wamuunge mkono kwa kile anachokifanya kwakuwa anafanya kwa maslahi ya Taifa.

“Rais Magufuli ameanza vizuri kwa kubana baadhi ya mambo ambayo hayakuwa ya msingi, kuna mambo mazuri sana mengi ameyafanya mapaka dakika hii, lakini mwalimu Nyerere alishawahi kusema kuwa wakati unafagia ni lazima uwe makini kwani unaweza kufagia hata shilingi, na sasa Rais Magufuli anafagia shilingi nyingi, kwasasa tumuache afanye kazi yake lakini tutamhukumu muda ukifika,”amesema Lowassa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad