Madam Flora: Tujifunze kuwa na maamuzi binafsi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ikiwa leo ni mwezi mmoja na siku kadhaa toka msanii wa Injili Madam Flora kufunga ndoa kwa mara ya pili na mume wake Daudi Kusekwa baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake Emmanuel Mbasha, Fora amefunguka na kuwataka watu kuwa na maamuzi binafsi.

Msanii huyo amewataka watu kuwa na maamuzi binafsi kama wanataka kufikia ndoto zao na kudai kuwa unaweza ukawa unamshirikisha mtu lakini mtu huyo asiwe na nia njema na wewe hivyo anaweza kukushauri ndivyo sivyo.

"Jifunze kuwa na maamuzi yako binafsi, sio kila jambo lazima ushirikishe watu ndipo ulifanyie maamwuzi kwani si kila unayemshirikisha anakuwazia mema. Pokea ushauri vizuri kabisa lakini jifunze kuwa na maamuzi binafsi ili kutimiza ndoto yako" alisema Madam Flora
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad