MCHEZAJI wa Tottenham Victor Wanyama Akutana na Msanii wa Bongo Fleva Anayemkubali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mchezaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs ya nchini Uingereza na timu ya Taifa ya Kenya, Victor Wanyama ambaye yupo nchini kwa ajili ya mapumziko mafupi kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu nchini Uingereza August 12 ambapo timu yake ya Tottenham ikiwa ugenini kuvaana na Newcastle.

Mara kadhaa katika mahojiano yake na baadhi ya vyombo vya habari nchini, Wanyama amesikika akisema anamkubali mkali wa nyimbo ya O’rugambo ya Saida Kaloli na anapenda sana kufuatilia baadhi ya vibao vya msanii huyo hasa nyimbo hii anayo tamba nayo kwa sasa.

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida hatimaye mchezaji huyo kutoka Afrika Mashariki anaecheza ligi kuu nchini Uingereza amekutana na msanii Saida Kaloli na kukabidhiwa CD yenye kibao cha wimbo huo.

Wakati akiwa katika kipini cha Sports Extra kinachorushwa na kituo cha redio cha Clouds FM, Wanyama aliutaja wimbo huo .

“Nafuatilia sana Bongo Flava na wasanii wote wanafanya vizuri kwasasa na nimependa wimbo huu mpya wa ‘O’rugambo’ wa Saida Kaloli.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad