MIMI Sio Shabiki wa Shilole, Nampenda ROSA REE – Gigy Money

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MIMI Sio Shabiki wa Shilole, Nampenda ROSA REE – Gigy Money
Video Vixen, Gigy Money amefunguka na kusema yeye sio shabiki wa msanii wa Bongo Fleva Shilole na wala hajawahi kufikiria kumshirikisha katika muziki ambao anafanya kwa sasa.

Akipiga stori na kipindi cha Bongo Dot Home cha Times FM, Gigy Money alieleza kuwa kati ya wasanii wa kike anaowakubali katika Bongo Fleva ni Rapper Rosa Ree.

“Sina hata mpango wala sitaki, sio fun wake (Shilole), labda Rosa Ree, tatizo la watu walio up wanasumbua, so hip hop its better, mimi ningepata mtu wa kuniandikia niwe nachana ningependa, I don’t love this kind of music ambayo nafanya, nafanya ili nipate hela, mimi napenda hip hop,” alisema Gigy Money.

By Peter Akaro
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad