AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BAADA ya mwaka jana kula shavu la kucheza tamthiliya nchini Kenya kwa mwaka mmoja ambalo limeisha mwezi huu, staa wa filamu Bongo, Yusuf Mlela amejikuta akichekelea baada ya kupata kazi nyingine tena.
Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Mlela alisema ana furaha kubwa kupata kazi nyingine inayokwenda kwa jina la Nyota ambayo ni ya miezi saba wataifanya na wasanii wa Kenya pamoja na wa Tanzania ambao ni Daud Michael ‘Duma’, Salama Salmini ‘Sandra’ na Hasheem Kambi.
“Nimefurahi sana kwa kweli maana kazi ya kwanza ndiyo nimemaliza mwezi huu sasa nimepata nyingine ambayo tutaifanya kwa miezi saba, najiona mwenye bahati sana kwa kweli maana Kenya ninajifunza mambo mengi yanayohusiana na filamu, lakini pia nitatengeneza pesa zaidi kupitia kazi yangu hii,” alisema Mlela.
Credit - Risasi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK