Ndugai Ashangazwa na Bajeti ya Serikali ya Mwaka Huu..Amnyooshea Kidole Waziri Mpango..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Spika wa Bunge, Job Ndugai ameonyesha kushangazwa na bajeti iliyowasilishwa bungeni leo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango.

“Kwa kweli hii haijawahi kutokea, ni kwa miaka mingi hatujawahi kuona bajeti nzuri kama hii.” amesema Ndugai.

 Ndugai ameyasema hayo leo (Alhamisi) mara baada ya Waziri Mpango kuhitimisha kuwasilisha bajeti kuu ya mwaka 2017/18 huku asilimia kubwa ya wabunge wakimpigia makofi Waziri huyo.

Ndugai ameisifia bajeti hiyo akisema kwa miaka mingi ya uwasilishwaji wa bajeti za Serikali bungeni haijawahi kutokea wabunge wakaipokea vizuri kiasi hicho.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad