AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki Rihanna amewajibu watu wanao mkejeli kwa kumuita kibonge nyanya.
Wiki iliyopita watu walisambaza picha mitandaoni zikimuonyesha mrembo huyo jinsi alivyonenepa na huku wengine wakihisi ni mjamzito na wengine wakimuandikia maneno ya kashfa..
Hata hivyo Rihanna ameamua kukata mzizi wa fitina na kuamua kuwajibu kupitia mtandao wa Instagram, kwa kupost picha ya Gucci Mane enzi zake alivyokuwa mnene na ile ya sasa hivi inayomuonyesha amepungua zaidi na kuweka picha ya mdoli akiwa analia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK