AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na kipindi cha Twenzetu cha Times FM, Saida amesema wasanii hao ni sawa na wimbo wa Rapper Young Dee ‘Bongo Bahati Mbaya’ kwa kufanya kila kitu ni Ulaya na si hapa nchini.
“Tatizo nilikuwa sioni wasanii wakiimba nyimbo za asili hasa wanawake, siwaoni. Nawaona wanaimba nyimbo zinazofanana na za Ulaya, mavazi ya Ulaya, sauti ya Ulaya, sioni sauti za Tanzania kwa wanawake,” amesema Saida Karoli.
“Huwezi kutoa maoni kule nilipokuwa, nikasema labda watu wameamua kuwa Ulaya, ndio maana juzi niliongelea wimbo wa tupo Bongo Bahati Mbaya, kila kitu Ulaya, sauti na mavazi yao ni Ulaya,” ameongeza.
By Peter Akaro
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK