Siku Moja Tu watu wang’oa Bango la Mtaa wa Victor Wanyama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Unaweza usiamini, jana tu ilitolewa zawadi ya mtaa, asubuhi ya leo tayari bango la Mtaa wa Victorr Wanyama limeng’olewa.

Taarifa zinaeleza wako ambao walitaka kuiba bango hilo kwa ajili ya vyuma chakavu lakini wengine wanaeleza, wako waliochukizwa Wanyama kupewa jina la mtaa Tanzania.

Jana, Meya wa Manispaa ya Ubongo Boniface Jacob, alimtunuku mtaa, Kiungo wa Tottenham ya England Victor Wanyama raia wa Kenya.

Jacob ambaye ni Meya akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), alimkabidhi Wanyama mtaa ambao awali ulikuwa unajulikana kama Viwandani na sasa utajulikana kama Victor Wanyama.

Mtaa huo uko Ubungo katika Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad