AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyo ambaye alioa mwaka jana amekanusha na kueleza kuwa hajawahi kumpiga mkewe kama inavyodaiwa.
“Mie sijawahi kumpia mke wangu we muulize kama nimewahi kumpiga mimi labda huyo ni Tunda mwingine sio mimi,” ameleeza Tunda kupitia kipindi cha XXL kwenye U-Heard.
Hata hivyo alipohojiwa mke wa msanii huyo naye alikanusha tuhuma hizo zilizozagaa na kueleza si za ukweli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK