Tunda Adaiwa Kumchapa Mke Wake...Mwenyeji Ajibu Tuhuma Kwa Kusema Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Bongo Fleva, Tundaman ameweka bayana kuwa hajawahi kumpiga mkewe na huwa hana tabia hiyo.


Msanii huyo ambaye alioa mwaka jana amekanusha na kueleza kuwa hajawahi kumpiga mkewe kama inavyodaiwa.

“Mie sijawahi kumpia mke wangu we muulize kama nimewahi kumpiga mimi labda huyo ni Tunda mwingine sio mimi,” ameleeza  Tunda kupitia kipindi cha XXL kwenye U-Heard.

Hata hivyo alipohojiwa mke wa msanii huyo naye alikanusha tuhuma hizo  zilizozagaa na kueleza si za ukweli.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad