Tunda Asanukia Ishu ya Kitumbo Chake Baada ya Kusemekana Mjamzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muuza nyago machachari Bongo, mwenye kupenda kujiselfisha akiwa kwenye maakuli, Tunda Sebastian amesanukia ishu iliyoenea kwamba, ana kibendi akisema kuwa kilichotokea ni mpangilio mbovu wa menyu ndiyo unamfanya aonekane tumbo hilooo!

 Akibonga na 3 Tamu, amedai kuwa, kuna watu wanasema ana mimba, lakini hana cha mimba wala tumbo la mitungi bali ni mpangilio mbaya wa misosi.

 “Sina mimba wala kitambi cha ulabu, hili tumbo limejaa misosi tu si kingine, kuna kipindi nilikuwa na mpangilio mbaya wa menyu. Najitahidi kufanya mazoezi na kupunguza kufakamia misosi,” alisema Tunda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad