AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akijibu swali na mwandishi wa habari juu ya maoni yake kwa uteuzi wa Magufuli kwa wapinzani
Lissu amesema ACT sio wapinzani, bali walianzishwa kkwa ajili ya kuuwa upinzani na sasa
wanazawadiwa, Kitila Mkumbo na Anna Mghwira ni zawadi
Amedai serikali hawajawi kuwa na shida na ACT bali shida yake kubwa ni Chadema na CUF na hao wengine ni CCM wakiwa wamevaa magwanda tofauti
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Chadema ni wa wapigaji tu, kwani huyo Zito kilimtoa nini huko Chadema?
ReplyDeleteChama chenyewe kimeuzwa kwa Lowasa, zimebadi kelele tu za debe tupu.....wacheni kijicho na roho mbaya, mtaumia sana siku Zito Kabwe atakapokuwa Waziri wa Nishati na Madini hahaha.........saga-chupa-ubwie Lisu