Ukweli Mchungu...Pamoja na Kuijenga CHADEMA kwa Mikono Yake, Ndesamburo Hakupewa Heshima Kama Lowassa na Sumaye..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Marehemu Mzee Ndesamburo kama almaarufu kama Ndesa Pesa, ni watu waliojiondoa CCM mara baada ya vyama vingi kuanza rasmi nchini Tanzania, huku akiwa muasisi na mwenyekii wa kwanza wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro. Alikijenga chama huku Sumaye akiwa waziri mkuu alitamka kejeli akiwa katika ziara mkoani Kilimanjaro miaka ya mwanzoni 2000 kuwa ''ukitaka biashara yako ifanikiwe jiunge na CCM''.

Ndesamburo alitumia rasilimali zake na ushawishi kuijenga Chadema katika kipindi chote hicho bil kuchoka, Huku akiwa Mwenyekiti wa Mkoa alikuwa pia mjumbe wa Baraza kuu la chama Taifa hivyo kimadaraka ndani ya chama ni 'mzito' kuliko akina Lowassa na Sumaye ambao kimsingi walikuja kugombea uraisi na si kuijenga Chadema.

Haikuwahi kutokea katika uhai wake Mzee ndesamburo kukaa meza kuu lakini ghafla wajumbe wapya wawili wasio viongozi wa sekretariet wanaketi meza kuu huku Mzee Ndesamburo akiketi viti vya nyuma kabisa.

Upumzike kwa amani Mzee wangu Ndesamburo, Leo kila mtu anataka kupata sifa na umaarufu kupitia msiba wako wakati walikutenga kipindi cha uhai wako.

Chanzo JF

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad