USAJILI:Mashabiki wa Yanga SC Wachoma Jezi ya Niyonzima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuondoka kwa mchezaji Haruna Niyonzima ndani ya klabu ya Yanga SC, kumeonyesha kuwaumiza mashabiki wa klabu hiyo ambapo moja kati ya kundi la mashabiki wameamua kuchoma jezi ya mchezaji huyo.

Mashabiki wakionekana kuichoma moto jezi yenye jina la Niyonzima na namba 8 mgongoni namba ambayo hutumia mchezaji huyo uwanjani

Hapo jana Klabu ya soka ya Yanga ilitoa taarifa ya kuachana na aliyekuwa mchezaji wake wa kimataifa raia wa Rwanda, Haruna Niyonzima baada ya kushindwa kuafikiana.

kupitia kwa Katibu Mkuu Boniface Mkwasa alisema Niyonzima bado ana mkataba mpaka mwezi Julai na Yanga Sc, lakini hawataweza kuendelea kuwa nae kwa msimu ujao kutokana na kushindwa kkuafikiana katika mazungumzo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad