AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki wakionekana kuichoma moto jezi yenye jina la Niyonzima na namba 8 mgongoni namba ambayo hutumia mchezaji huyo uwanjani
Hapo jana Klabu ya soka ya Yanga ilitoa taarifa ya kuachana na aliyekuwa mchezaji wake wa kimataifa raia wa Rwanda, Haruna Niyonzima baada ya kushindwa kuafikiana.
kupitia kwa Katibu Mkuu Boniface Mkwasa alisema Niyonzima bado ana mkataba mpaka mwezi Julai na Yanga Sc, lakini hawataweza kuendelea kuwa nae kwa msimu ujao kutokana na kushindwa kkuafikiana katika mazungumzo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK