Uwoya astushwa na habari za Ujauzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


DAR ES SALAAM: Sexy lady wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ amefungukia madai kuwa, kwa sasa ametengeneza urafiki wa muda na ndimu, samaki wabichi na ukwaju kwa kinachosemekana ni mjamzito.

Huku akionesha kushtushwa na habari hizo zinazoenezwa bila kutaja mhusika wa kibendi hicho, Uwoya alikuwa na haya ya kusema:

“He! Mimi? Mjamzito? Jamani imekuwa too much (imezidi), watu wanaongea kama hawana mambo ya kufanya maishani, kinachowashtua wengi ni mabadiliko ya mwili wangu. Unajua nimenenepa kwa kweli, inafika mahali mtu anaridhika na maisha.

Mwili nao unabadilika kutokana na sababu za kibaiolojia, sina njaa kama zamani. Napata madili mengi, hivyo lazima niridhike na kunenepa, wengi wanadhani ni mimba na hata familia yangu, walidhani ni hivyo, lakini sina mimba na hata sifikirii kufanya hivyo kwa sasa,” alisema Uwoya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad