Ni Mwimbaji staa wa Bongo Fleva, makofi mengi amepigiwa kwenye utunzi wake pamoja na ukali wake wa melody, anaitwa Rayvanny kutoka WCB ambae June 24, 2017 ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist, Sasa leo June 25, 2017 Ayo TV na Millardayo.com imempata Diamond Platnumz kuzungumzia ushindi wa Rayvanny.
Itazame hii video hapa:
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini: