WATU 123 Wafariki Dunia Baada ya Lori la Mafuta Kulipuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu 123 wamefariki dunia baada ya lori la mafuta kupinduka na kulipuka katika mji wa Ahmedpur Sharqia, Punjap nchini Pakistan.

Vyombo vya habari vya nchini humo vimethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyogharimu maisha ya watu 123 huku wengine wakijeruhiwa vibaya.

Imeelezwa kuwa baadhi yao walipoteza maisha wakiwa wanajaribu kuteka mafuta kutoka kwenye lori hilo mara baada ya kupinduka. Majeruhi wamepelekwa hospitali kwa ajili ya matibabu.

Hata hivyo mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa baadhi ya watu waliofika katika eneo la ajali mara baada ya gari hilo kupinduka walikuwa wakivuta sigara, jambo ambalo limeelezwa kuwa chanzo cha moto huo.

Chanzo BBC.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad