Zitto: Wabunge wa CCM Akiwemo Magufuli Waliniadhibu kwa Kuibua Sakata la Madini Mwaka 2007..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Zitto Kabwe akihojiwa na Azam Tv amesema ripoti kamati iliyoongozwa na Prof. Osoro iliyowakilishwa kwa Magufuli haina mapendekezo mapya tofauti na kmamati ya Jaji Bomani ya Mwaka 2008 ambayo yeye alikuwa ni mjumbe pia wa kamati hiyo, tofauti ya sasa na kipindi kile ni rais kuthubutu kufanyia kazi mapendekezo hayo

Pia amesema mwaka 2007 aliibua suala hilo bungeni ila aliambiwa anakimbiza wawekezji ni mchochezi na akaadhibiwa kutohudhuria vikao vya bunge Magufuli akiwa ni mmoja wa watu waliomuadhibu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad