AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto Kabwe akihojiwa na Azam Tv amesema ripoti kamati iliyoongozwa na Prof. Osoro iliyowakilishwa kwa Magufuli haina mapendekezo mapya tofauti na kmamati ya Jaji Bomani ya Mwaka 2008 ambayo yeye alikuwa ni mjumbe pia wa kamati hiyo, tofauti ya sasa na kipindi kile ni rais kuthubutu kufanyia kazi mapendekezo hayo
Pia amesema mwaka 2007 aliibua suala hilo bungeni ila aliambiwa anakimbiza wawekezji ni mchochezi na akaadhibiwa kutohudhuria vikao vya bunge Magufuli akiwa ni mmoja wa watu waliomuadhibu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK