BAADA ya Utapeli wa Kuponya Vilema, Ukimwi na Miujiza Kudharaulika: What Next Kwa Manabii wa Kiroho?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni ukweli usiopingika kwamba kuna baadhi wanaojiita Manabii wa kipentekoste walikuja kwa kasi ya ajabu. Wakidai kuwa na kufufua watu, kuponya vilema, kuponya magonjwa kama ukimwi, na kufanya miujiza mbalimbali kama kumuombea mtu mafanikio ya kimaisha nakadhalika nakadhalika. In short walitafuta matatizo yanayowahusu watu wengi kama ndoa, kupata watoto na kupona maradhi na kwa njia hii wakawapata watu wengi. Siku zikapita hakuna alopona wala kufanikiwa. Hii imepelekea watu wengi kuwadharau kwa utapeli. Nimekuwa najiuliza what next kwa manabii hawa matapeli hawa japo wengi wameshatajirika sana kwa kula pesa za watu masikini waliowaamini kuwa wanaweza kuwasaidia matatizo yao

By Modibo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad