Benjamini Mkapa Kukabidhi Nyumba 10 Hospitali ya Wilaya ya Chato Kwa Magufuli......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamini Mkapa amewasili wilayani hapa mkoani Geita ambapo leo anatarajiwa kukabidhi nyumba kumi kwa Hospitali ya Wilaya ya Chato zilizojengwa kwa ufadhili wa Mkapa Foundation.

Mkapa ambaye alikuwa ameambatana na mkewe, Mama Anna Mkapa walipokelewa na mwenyeji wake ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli aliyekuwa sambamba na mkewe, Mama Janeth Magufuli.

Katika msafara huo pia Rais mstaafu Mkapa ameambatana na Balozi wa Japan hapa nchini, Masaharn Yoshida ambaye leo anakabidhi mashine ya kukamulia mafuta ya alizeti kwa chama cha Ushirika wa Kilimo na Masoko Chato (AMCOSS). Rais mstaafu, Mkapa anatarajiwa pia leo kuhudhuria mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na mwenyeji wake Rais Magufuli utakaofanyika katika Uwanja wa Mazaina ulioko mjini

Chanzo: Habarileo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad