CUF Lipumba, CUF Maalimu Seif Wazichapa tena Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

HALI ya Taharuki Kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeibuka Leo wakati wafuasi wa pande wa Chama cha Wanachi (CUF)  kukutana kwenye kesi zilizfunguliwa na bodi ya wadhamini ikidai ruzuku za chama hicho zilizodaiwa kuzuiliwa na Msajili wa vyama vya siasa Nchini.

Wafuasi hao waligawanyika kundi moja likiwa  upande wa katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Ahmad na wengine kuwa kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Professa Ibrahimu Lipumba walishikana na mashati na kurushina maneno mahakamani hapo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad