DIVA afunguka kuhusu ujauzito wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni kweli mtangazaji wa kipindi cha Ala Za Roho, Diva The Bawse ni mjamzito? Hilo ndio swali ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza tangu Jumamosi hii kutokana na picha ya Ultra Sound iliyokuwa ikisambaa mitandaoni.


Akiongea na Bongo5, mrembo huyo alikataa kuwa si mjamzito na picha inaonekana mitandaoni ni yake kweli ambayo alienda hospitali kuangalia kama ana uvimbe tumboni kutokana na operesheni aliyofanyiwa mwaka juzi.

“Ile ultra sound ni yangu, nilienda check kama nina uvimbe tumboni maana had surgery ya mwaka juzi nikakuta hamna uvimbe and nikasema it catches my soul maana i was worried, sijaandika Im pregnant,” amesema Diva.

“Siwezi kusema I’m a pregnant, i keep it to myself sababu sio vizuri kutangaza hayo mambo mapema mapema, anything can happen lakini nina uwezo wa kuzaa watoto mwisho wa 5,” ameongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad