JERRY Muro Atoa Maoni yake “Rais wa Tanzania ni Mmoja tu”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni maoni ya Mwandishi wa habari ambaye pia amewahi kuwa Msemaji wa Club ya soka ya Yanga Jerry Muro kwenye mtandao wake wa kijamii kuhusu Rais wa Tanzania na wengine wenye vyeo vya Urais.

Jerry Muro ameandika :

“Rais wa Tanzania ni mmoja tu, Hawa wengine 
Rais wa TLS Rumande
Rais wa TFF Rumande
Rais wa Yanga Rumande 
Rais wa Simba Rumande 
Mwingine akijiita *Rais* asubiri moto wake.
#utanikamakweli 
Nchi haiwezi kuwa na utitiri wa marais ikakubalika.
#raiswangu #HapaKaziTu@lemutuz_nation
@paulmakonda @gersonmsigwa“


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad