AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimejiuliza,Ndugai anahakika gani kama mahakama itaamua tofauti na maamuzi yake ya kuwasimamisha mwaka?
Je,Ina maana Ndugai anauwezo wa kuingilia maamuzi ya mahakama mpaka kujipiga kifua hamna cha kesi?"Na kejeli"
Kauli kama hizi endapo mahakama itaamua kuendana na majigambo ya Spika ndugai hata kama maamuzi yake yatakuwa ya haki,zinapunguza imani ya wananchi kwa mahakama zao.Lazima mahakama ijipange la sivyo hadhi yake inaweza kuporomoka kabisa.
By Kibo10
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK