Ndugai: Hamna Cha Kesi, Mimi Ndio Spika Watakaa Benchi Mwaka Mzima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mahakama zetu zimeendelea kudharaulika baada ya leo bungeni spika ndugai kusema wabunge waliosimamishwa vikao mwaka mzima wanakimbia kimbia tu hakuna cha kesi mimi ndio Spika.
Nimejiuliza,Ndugai anahakika gani kama mahakama itaamua tofauti na maamuzi yake ya kuwasimamisha mwaka?

Je,Ina maana Ndugai anauwezo wa kuingilia maamuzi ya mahakama mpaka kujipiga kifua hamna cha kesi?"Na kejeli"

Kauli kama hizi endapo mahakama itaamua kuendana na majigambo ya Spika ndugai hata kama maamuzi yake yatakuwa ya haki,zinapunguza imani ya wananchi kwa mahakama zao.Lazima mahakama ijipange la sivyo hadhi yake inaweza kuporomoka kabisa.

By Kibo10

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad