SIO Siri Tena Hamisa Mobeto Aweka Wazi Ujauzito Wake ni wa Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Stori ambayo imekuwa ikitrend kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu Mwanamitindo wa Bongo Hamisa Mobetto kudaiwa kutoka kimapenzi na Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz huku pia ikielezwa kuwa na ujauzito wa staa huyo lakini Hamisa Mobetto ameamua kuuweka hadharani ukweli kuhusu ujauzito huo.

Kupitia Instagram yake leo July 3, 2017 Hamisa amepost picha mbili tofauti ambapo akiandika kwenye picha ya kwanza “Mamaa, Angalizo Ushauri peleka angaza.” Na picha ya pili akaandika: “Mama Daa…. Mama Dee….. Mama Diii…..  Mama Doo… Mama Duu….”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad