AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dida amekataa kuongeza mkataba mwingine wa kuitumikia Yanga kufuatia mchakato wake wa kwenda kucheza soka la kulipwa Afrika Kusini.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Hussein Nyika, ameeleza kuwa, licha ya kuondoka kwa Dida katika timu hiyo, bado atakuwa na nafasi yake iwapo atahitaji kurejea kikosini hapo.
“Dida siyo mchezaji wetu kwa sasa kwani mkataba wake umeisha mwezi huu wa saba na sasa anakwenda Afrika Kusini kufanya majaribio, tulitaka kumuongeza mkataba mwingine lakini amekataa.
“Nafasi bao ipo wazi kwake aende kufanya majaribio na iwapo atarejea basi nafasi yake ipo, ila hatujui anakwenda timu gani,” alisema Nyika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK