Serikali kupitia Wizara yake ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki imethibitisha Waasi na kikundi cha waasi cha Mai-Mai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamewateka madereva 24, wakiwamo Watanzania 21 wanaofanya kazi kwenye kampuni ya malori ya mizigo ya Alistair ya nchini.
VIDEO:
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini: