AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Tumechoka kuchezewa.” Hayo ni maneno ya Rais John Magufuli wakati akizindua rasmi maonyesho ya 41 ya kimataifa ya biashara huku akisisitiza maonyesho hayo yatumike kama chachu ya maendeleo.
“Tumechoka, tumechezewa mno, lakini tumechezewa kwa muda mrefu na tumechezewa kwa sababu tumeamua,” amesema.
Ameyasema hayo leo (Julai 1) wakati akihutubia katika viwanja vya Sabasaba.
Pamoja na kusisitiza utajiri ambao Tanzania inao, Rais amewataka wawekezaji walioshiriki maonyesho hayo kuwekeza nchini kwa kuwa Tanzania ipo salama.
“Maonyesho haya yatumike kama chachu ya maendeleo,” amesema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK