Aunty Afunguka Sababu Ya Kuhudhulia Uzinduzi wa Filamu ya Wema Bila Iyobo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aunty Afunguka Sababu Y a Kuhudhulia Uzinduzi wa Filamu ya Wema Bila Iyobo
Mrs Iyobo kwa sasa Aunty Ezekiel, ameamua kutoa ufafanuzi wa kutinga peke yake katika usiku wa kuitazama filamu mpya ya shoga yake Wema Sepetu iitwayo ‘Heaven Sent’.

Akiongea na Bongo5, mrembo huyo ambaye amejulikana kupitia filamu ameeleza kuwa hakufika na waubani wake, Moses Iyobo kutokana na mtoto wake Cookeis kuugua.

“Moses hajaja kwa sababu mtoto alikuwa hayupo sawa, so nikaona sio vizuri wote tukija huku na nikisema mimi nibaki. Wema she is my friend so inakuwa sio vizuri, nikasme awacha mie nije ye abaki,” amesema mrembo huyo.

Filamu ya Heaven Sent ilizinduliwa kwa mara ya kwanza siku ya Jumamosi na mastaa kibao wahudhuria uzinduzi huo akiwema Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Steve Nyerere.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad