AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Clouds FM imeongoza kwa mara nyingine kwenye list hiyo ikifuatiwa na Radio Free Afrika wakati TBC Taifa ikikamata nafasi ya tatu.
Aidha Taasisi hiyo pia imeitaja Clouds TV kuwa kituo kinachotazamwa zaidi Tanzania katika top ten list ya Television zinazotazamwa zaidi Tanzania ikifuatiwa na ITV na East Africa TV.
Radio zinazosikilizwa zaidi Tanzania
Television zilizotazamwa zaidi Tanzania
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hongera zenu Clouds, mnastahili hiyo nafasi kwa kweli, binafsi napenda sana kuwasikiliza sababu ni wabunifu, kila siku, kila kipindi hamkosi jipya lenye mvuto. Kingine Clouds hawana 'sifa-za-kijinga' kama wengine wanavyopenda kujisifia-sifia, pia hawatumii 'nguvu nyingi' kutafuta wasikilizaji, mara kutoa 'fweza' mara kutoa nanihii......vipindi bora na utangazaji mzuri ndio 'mtaji' pekee.....unaweza kutoa fweza au chochote kuvutia wasikilizaji, promo-ikiisha wanabadili channel.....tafadhalini Clouds 'MSIBWETEKE', hebu zidisheni 'manjo-njo' tuzidi kupata 'raahaaa'
ReplyDelete