Haya Sasa Hamisa Mobetto Amechafua Hali ya Hewa Ndani ya Maternity Photoshoot Kali.....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama kawaida ya mastaa wetu wa kibongo hupendelea sana wanapokuwa wajawazito kugonga maternity photoshoot.
Huu sasa ndio muonekano wa Hamisa Mobetto katika maternity photoshoot :

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kuna swali ambalo mara nyingi huwa najiuliza, hivi ma-binti kama hawa wana-wazazi? Wanafamilia yaani ndugu kwa jumla, ba'mdogo, ba'mkubwa, mjomba, kaka, shangazi nk.nk., kama wapo hawayaoni haya?? Kama wanayaona, wanaridhika?? mmh najaribu kuvaa viatu vyake, sijaona pakutokea wala pakuweka sura yangu......au wenzetu wazazi wao wadhungu! Pole yao

    ReplyDelete
  2. Hiyo ndiyo facebook generation wao wanageza tu vitu au matendo wanayoyaona kwenye mitandao inayofanyika ughaibuni bila ya kufikiria athari zake katika siku za usoni itakuwaje na kusahau kuwa wao wamelelewa au nchi wanazoishi zina maadili gani ya kimila au utamaduni halafu utawasikia eti wanataka kuolewa balaa duniani

    ReplyDelete
  3. Hivyo hawa mabinti huwa hawajielewi kuwa ni kituko! kisha maisha yakimpiga kidogo utasikia wakisema karogwa kumbe wanajiroga wenyewe na vituko vya makusudi.

    ReplyDelete

Top Post Ad