AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama kawaida ya mastaa wetu wa kibongo hupendelea sana wanapokuwa wajawazito kugonga maternity photoshoot.
Huu sasa ndio muonekano wa Hamisa Mobetto katika maternity photoshoot :
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kuna swali ambalo mara nyingi huwa najiuliza, hivi ma-binti kama hawa wana-wazazi? Wanafamilia yaani ndugu kwa jumla, ba'mdogo, ba'mkubwa, mjomba, kaka, shangazi nk.nk., kama wapo hawayaoni haya?? Kama wanayaona, wanaridhika?? mmh najaribu kuvaa viatu vyake, sijaona pakutokea wala pakuweka sura yangu......au wenzetu wazazi wao wadhungu! Pole yao
ReplyDeleteHiyo ndiyo facebook generation wao wanageza tu vitu au matendo wanayoyaona kwenye mitandao inayofanyika ughaibuni bila ya kufikiria athari zake katika siku za usoni itakuwaje na kusahau kuwa wao wamelelewa au nchi wanazoishi zina maadili gani ya kimila au utamaduni halafu utawasikia eti wanataka kuolewa balaa duniani
ReplyDeleteHivyo hawa mabinti huwa hawajielewi kuwa ni kituko! kisha maisha yakimpiga kidogo utasikia wakisema karogwa kumbe wanajiroga wenyewe na vituko vya makusudi.
ReplyDelete