AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa filamu ambaye ndiye The Ijumaa Sexiest Girl 2015, Asha Salum ‘Kidoa’ amegandwa na madai ya kuwa bonge nyanya tofauti na alivyokuwa huko nyuma kiasi cha kuathiri uwezo wake awapo faragha.
Mmoja wa mashosti wa staa huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, mara kwa mara Kidoa amekuwa akijilaumu kwa kushindwa kuukontroo mwili wake huku akihofia kuachwa na ‘baby’ wake.
“Unajua sasa hivi Kidoa amekuwa bonge sana na anahisi hata mpenzi wake atamuacha maana yale mambo ya chumbani atakuwa hayamudu,” alimwaga siri za chumbani za kidoa sosi huyo. Katika kujua ukweli wa ishu hiyo, paparazi wetu alimtafuta Kidoa na alipobanwa juu ya madai hayo alifunguka:
“Mh! Aliyewaambia hayo ni mmbeya sana, hata niwe bonge vipi bado siwezi kushindwa kujimudu faragha. Mimi ni msichana niliyefundwa, ni mtundu na mbunifu, hata mpenzi wangu anajua hilo. Kuhusu ubonge, nafanya jitihada za kurudisha ule mwili wangu na umbo namba nane,” alisema Kidoa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
TUONYESHE PICHA ALIVYO SASA.WACHENI CHIPS KUKU NA BIA
ReplyDelete