LuLu Diva Akana Uzuri Wake na Mapenzi Aliyotoa Kumpa Dili Kenya....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Bongo Flava, Lulu Diva amesema si kweli kwamba uzuri wake ndio ulipelekea kupata nafasi ya kazi zake kusimamiwa na Main Switch ya Kenya

Muimbaji ameimbia Planet Bongo ya EA Radio kuwa hakumshawishi mtu yeyote kumpatia hiyo nafasi na kwake ilikuja kama surprise hata menejimenti yale ilikuwa haijui.

“Kile kitu kilikuja kwetu lakini ilikuja kwa sababu waliona kuna kitu cha ziada kwa Lulu Diva na kuna nguvu ambayo yeye anaifanya, when come to work mimi nafanya kazi katika hali ya serious, kwa hiyo kile kitu wamekiona kwangu,” amesema.

Kuhusu show aliyoifanya nchini humo na kuleta maneno mengi kuhusu kivazi chake alisema, “sema kama wamemaindi vitu vidogo sana, hapana kutoka walivyona yale mapaja malaini, hayana madoa na nini”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad