AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamesemwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha baada ya Wakili wa Serikali Mkuu, Timony Vitalis kwamba kesi hiyo inaendelea na ushahidi.
Hata hivyo, kesi hiyo haikuweza kuendelea baada ya kutolewa taarifa ya Magereza kwamba Yusuf Manji anaumwa na amepewa mapumziko ya kitanda.
Baada ya kuelezwa hayo, kesi imeahirishwa hadi September 18, 2017.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK