AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi wamedai kuwa Lema alimaliza mkutano wake saa 12:7 jioni badala ya saa 12:00 kama ilivyo utaratibu.
Hivyo askari polisi walimzuia katika mzunguko wa barabara wa Mnara wa Saa (round about) kwa kusimamisha gari mbili (moja mbele na nyingine nyuma), kisha kuingia katika gari yake na kumuelekeza Kituo Kikuu cha Polisi (Central Police) mjini Arusha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hawa polisi wa Tanzania na serikali yake nikama wandawazimu, vitendo vya kukamatakamata wapinzani kwa sababu za kijinga zinajenga imani mbaya kwa sisi wananchi.eti kazidisha dakika 7 kwenye mkutano wake.that is nonses and wasting time, wanawaonesha nini Watanzania kwasabu zao za kijinga kijinga. au wanataka waonekane wako busy nawao wanafanya kazi ?
ReplyDeletehapana kuzingatia wakati ni jambo muhimu.angalia ukienda cyber cafe ukichukua dak 15. hiwa inazidi? Vp goless achukue zaidi..katumwa au hakasoma kibali au ni dharau..lazima tumkumbushe umuhimu na ruhusa izingatiwe. hapa ni kazi tu
ReplyDelete