AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Uhondo cha E Fm kuwa alitambua kuwa yeye ni mzuri kutokana na sifa alizokuwa akipewa na mama yake mzazi kitu ambacho kilimfanya kutolaghaika na watu waliokuwa wakimsifia.
“Mimi ni msichana ambaye nipo sex ambaye nina mvuto, mama yangu alikuwa akiniambia Lulu mwanangu mashallah, yaani hapa sidhani kama kuna mtu nitamwambia idadi ya ng’ombe ninazozitaka halafu akapindua,” amesema na kuongeza.
“Na mimi mwenyewe nikawa najiona ndio maana hata sikuweza kurubunika, yaani ile mtu kuniambia wewe mzuri akanidanganya kwa vichipsi mayai, mwenyewe nilishajijua ni mzuri,” amesema Lulu Diva.
Hitmaker huyo wa Usimwache kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake inayokwenda kwa jina la Utamu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
LULU DIVA. MIMI MBONA SIKUELEWI...!!! SASA BIASHARA IMEKUWA MITANDAONI. AU UMEKOSA SOKA..!!!?
ReplyDeleteKWANI NANI KASEMA WEWE MBAYA?
AU NDIYO VILE... MANAKE MAJI YAKIGUSA NYAYA LIVE NI HATARI. TULIA DADA.
ILE POSA ULISHAJIBU..!!! SEMA NI NG'OMBE KICHAA MMOJA NA NDAMA MOJA JUMLA ZINAKUWA TATU. UKIJUMLISHA PAMOJA NA KALE KAKUKU KAMA RODA ANAKAUZA PIA. TUNANGOJA MAJIBU.