AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker huyo wa Usimwache na Utamu ambaye kwa sasa ameachia ngoma mpya ‘Give It To Me’, ameiambia Clouds Fm kuwa yeye kukutana na Wizkid ilikuwa ni mipango ya kazi na si vinginevyo.
“Alikuwa na special appearance na mimi nilikuwepo siku hiyo na tulipanga mimi na meneja wangu kwa sababu kuna mtu alikuwa anajuana naye alimuita Wizkid pale, kwa hiyo waliongea kuwa tunaenda kukutana kama wasanii na tuliongea kuhusu muziki, so we have fan pale na ikaishia hapo hakukua na kitu kingine,” amesema na kuongeza.
“After party hakuna niliwahi kuondoka tuliongea kuhusu muziki tu…, yeah tutarajie kitu kwa sababu yeye ni msanii na mimi ni msanii hivyo tunaweza tukafanya kitu kizuri zaidi,” amesisitiza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK