AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msuva ni miongoni mwa wachezaji saba wanaocheza nje walioitwa na Kocha Salum Mayanga kwa ajili ya mchezo huo wa Septemba 2 utakaofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru.
Leo mchana kwa saa za Morocco, Msuva ataiongoza Al Jadida kuivaa FUS Rabat katika mchezo wa Ligi Kuu ya nchini 'Botola Pro League.
Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas alisema mchezaji huyo ataungana na wenzake ambao wameshaanza maandalizi ya mchezo huo.
"Wachezaji wa ndani wapo na Mbwana Samatta pia amewasili, leo usiku tunamtarajia Msuva kutoka Morocco," alisema Lucas.
Wachezaji wengine wanaocheza soka nje waliotwaa ni pamoja na Orgenes Mollel anayecheza FC Famalicao, Ureno na kiungo wa Sony Sugar ya Kenya, Hamis Abdallah.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK