Mwanumuziki Harmonize Apata Kigugumizi Gharama za Mjengo wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Muziki Bongo, Harmonize ameshindwa kuweka wazi gharama alizotumia hadi sasa katika nyumba yake anayojenga.

Muimbaji huyo kutoka label ya WCB, amesema ndio kwanza anaanza na Mungu akijalia mwakani mwishoni inaweza ikawa imeisha na nyumba hiyo ni ghorofa.

“Kwa hiyo flow ya kwanza tayari bado ya pili, kidogo kidogo tunajikongoja tukipata 200 tunaweka. Sio kitu kizuri kusema (gharama) nadhani lakini imetumia hela nyingi,” ameimbia XXL ya Clouds Fm na kuongeza.

“Siwezi nikakadiria lakini imekula hela nyingi, show zenyewe hizi kwa mwaka sita/saba na usawa wenyewe ulivyo mgumu lakini nashukuru sio show pekee zinazonipatia hela kuna mishe nyingine, kwa hiyo siwezi kujua ni kiasi gani imekula lakini imekula hela nyingi,” amesema Harmonize.

Harmonize kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sina’ ambayo katika video yake amemshirikisha msanii mwenye heshima yake katika Bongo Flava, Mr Nice.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad